Swali: Kutoka barabarani kwa ajili ya kutekeleza manufaa fulani na kuwaangalia wanawake waliovaa uchi mchana wa Ramadhaan kunabatilisha swawm?
Jibu: Hakubatilishi swawm. Hata hivyo ni wajibu kwake kuteremsha macho kiasi na anavyoweza.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/274)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Swali: Kutoka barabarani kwa ajili ya kutekeleza manufaa fulani na kuwaangalia wanawake waliovaa uchi mchana wa Ramadhaan kunabatilisha swawm?
Jibu: Hakubatilishi swawm. Hata hivyo ni wajibu kwake kuteremsha macho kiasi na anavyoweza.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/274)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuwaangalia-wanawake-waliovaa-vibaya-kunaharibu-swawm/