Swali: Nimesikia kuwa kutamka nia mdomo kabla ya swalah ni maoni ya Imaam ash-Shaafi´iy (Rahimahu Allaah). Je, ni sahihi?
Jibu: Ndio, wanayanasibisha kwa Imaam ash-Shaafi´iy, lakini hayakuthibiti kwa Imaam ash-Shaafi´iy (Rahimahu Allaah). Wanayanasibisha kwake, lakini hayakuthibiti kutoka kwake (Rahimahu Allaah). Anafuata Sunnah zaidi na ana elimu zaidi na kuijua zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Nimesikia kuwa kutamka nia mdomo kabla ya swalah ni maoni ya Imaam ash-Shaafi´iy (Rahimahu Allaah). Je, ni sahihi?
Jibu: Ndio, wanayanasibisha kwa Imaam ash-Shaafi´iy, lakini hayakuthibiti kwa Imaam ash-Shaafi´iy (Rahimahu Allaah). Wanayanasibisha kwake, lakini hayakuthibiti kutoka kwake (Rahimahu Allaah). Anafuata Sunnah zaidi na ana elimu zaidi na kuijua zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kutamka-nia-ni-maoni-ya-ash-shaafiiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket