Swali: Kusoma du´aa ya Qunuut kwa utaratibu na kwa utungo (ترتيل) ndani ya swalah ni Bid´ah na haijuzu?
Jibu: Unakusudia nini kwa kusema kusoma kwa utaratibu na kwa utungo? Kama unakusudia kusoma du´aa kwa sauti nzuri ni sawa. Inazidi kumfanya mtu kuwa na unyenyekevu. Kusoma kwa sauti nzuri ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 07/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket