65 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdil-Malik al-Waasitwiy ametuhadithia: Abul-Husayn Haaruun al-Khazzaaz ametuhadithia kwa njia ya kutusomea kitabu chake: ´Aliy bin al-Mubaarak ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Kathiyr ametuhadithia: Hilaal bin Abiy Maymuunah amenihadithia kwamba ´Atwaa’ bin Yasaar amemweleza kuwa ´Uqbah bin ´Aamir amemsimulia:
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi aliposema: “Kunapopita theluthi ya usiku (au alisema “Kunapopita nusu ya usiku”) basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya chini na anasema mpaka kunaingia alfajiri: “Simuulizi yeyote juu ya waja Wangu zaidi yangu Mwenyewe. Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba maghfirah nimghufurie?
Abu Ja´far amesema:
“Namna hii ndivo alivotusomea Haaruun kutoka katika kitabu chake na akamtaja ´Uqbah bin ´Aamir.”
Watu wengi, akiwemo Hishaam ad-Dastawaa’iy, ´Abdur-Rahmaan al-Awzaa´iy na Abaan al-´Attwaar, ameipokea kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa Hilaal bin Abiy Maymuunah, kutoka kwa ´Atwaa’ bin Yasaar, kutoka kwa Rifaa´ah bin ´Araabah al-Juhaniy (Radhiya Allaahu ´anh). Ndicho kilichohifadhiwa.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 140-141
- Imechapishwa: 28/04/2020
65 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdil-Malik al-Waasitwiy ametuhadithia: Abul-Husayn Haaruun al-Khazzaaz ametuhadithia kwa njia ya kutusomea kitabu chake: ´Aliy bin al-Mubaarak ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Kathiyr ametuhadithia: Hilaal bin Abiy Maymuunah amenihadithia kwamba ´Atwaa’ bin Yasaar amemweleza kuwa ´Uqbah bin ´Aamir amemsimulia:
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi aliposema: “Kunapopita theluthi ya usiku (au alisema “Kunapopita nusu ya usiku”) basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya chini na anasema mpaka kunaingia alfajiri: “Simuulizi yeyote juu ya waja Wangu zaidi yangu Mwenyewe. Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba maghfirah nimghufurie?
Abu Ja´far amesema:
“Namna hii ndivo alivotusomea Haaruun kutoka katika kitabu chake na akamtaja ´Uqbah bin ´Aamir.”
Watu wengi, akiwemo Hishaam ad-Dastawaa’iy, ´Abdur-Rahmaan al-Awzaa´iy na Abaan al-´Attwaar, ameipokea kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa Hilaal bin Abiy Maymuunah, kutoka kwa ´Atwaa’ bin Yasaar, kutoka kwa Rifaa´ah bin ´Araabah al-Juhaniy (Radhiya Allaahu ´anh). Ndicho kilichohifadhiwa.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 140-141
Imechapishwa: 28/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-uqbah-bin-aamir/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket