64 – Muhammad bin al-´Abbaas bin Muhammad ametuhadithia: Muhammad bin Abiy Bakr al-Waasitwiy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdillaah al-Maqdisiy ametuhadithia: Maalik bin Sa´iyd ametuhadithia: al-A´mash ametuhadithia, kutoka kwa Abu Swaalih, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd pia kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd, pia kutoka kwa Habiyb bin Abiy Thaabit, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hutoa muhula mpaka kunapopita nusu ya usiku ndipo anashuka katika mbingu ya dunia ya chini na anasema mpaka inachomoza alfajiri: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe? Je, kuna mwenye kuomba ajibiwe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 138-139
- Imechapishwa: 28/04/2020
64 – Muhammad bin al-´Abbaas bin Muhammad ametuhadithia: Muhammad bin Abiy Bakr al-Waasitwiy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdillaah al-Maqdisiy ametuhadithia: Maalik bin Sa´iyd ametuhadithia: al-A´mash ametuhadithia, kutoka kwa Abu Swaalih, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd pia kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd, pia kutoka kwa Habiyb bin Abiy Thaabit, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hutoa muhula mpaka kunapopita nusu ya usiku ndipo anashuka katika mbingu ya dunia ya chini na anasema mpaka inachomoza alfajiri: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe? Je, kuna mwenye kuomba ajibiwe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 138-139
Imechapishwa: 28/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-13/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket