59 – Abul-Aswad ´Ubaydullaah bin Muusa bin Ishaaq al-Answaariy na Ahmad bin Kaamil wametuhadithia: Muhammad bin Sa´d al-´Awfiy ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Sulaymaan bin Qarm ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr, kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy na Abu Hurayrah ambao wamemshuhudilia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na mimi nashuhudia kwamba wamesema: Tumemsikia akisema:
“Mola wenu (´Azza wa Jall) hutoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya usiku ya kwanza ndipo hushuka katika mbingu ya dunia ya chini na anasema: “Je, kuna mtenda dhambi anayetubu? Je, kuna mwenye kuuliza? Je, kuna mwenye kuomba msamaha? Je, kuna mwenye kuomba?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 135
- Imechapishwa: 26/04/2020
59 – Abul-Aswad ´Ubaydullaah bin Muusa bin Ishaaq al-Answaariy na Ahmad bin Kaamil wametuhadithia: Muhammad bin Sa´d al-´Awfiy ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Sulaymaan bin Qarm ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr, kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy na Abu Hurayrah ambao wamemshuhudilia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na mimi nashuhudia kwamba wamesema: Tumemsikia akisema:
“Mola wenu (´Azza wa Jall) hutoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya usiku ya kwanza ndipo hushuka katika mbingu ya dunia ya chini na anasema: “Je, kuna mtenda dhambi anayetubu? Je, kuna mwenye kuuliza? Je, kuna mwenye kuomba msamaha? Je, kuna mwenye kuomba?”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 135
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-08/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket