56- al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: ´Abdur-Razzaaq ametuhadithia: Ma´mar ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy ambao wameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) anatoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya mwisho ya usiku ndipo hushuka katika mbingu hii ya chini ya dunia na anasema mpaka kwapambazuka: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha asamehewe? Je, kuna mwenye kuomba maghfiyrah? Je, kuna mwenye kuomba? Je, kuna mwenye kuuliza?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 133
- Imechapishwa: 26/04/2020
56- al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: ´Abdur-Razzaaq ametuhadithia: Ma´mar ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy ambao wameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) anatoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya mwisho ya usiku ndipo hushuka katika mbingu hii ya chini ya dunia na anasema mpaka kwapambazuka: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha asamehewe? Je, kuna mwenye kuomba maghfiyrah? Je, kuna mwenye kuomba? Je, kuna mwenye kuuliza?”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 133
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-05/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket