Swali: Vipi ikiwa mtu ameokota pesa barabarani na akaikabidhi kwa shirika la misaada kwa nia ya kuitolea swadaqah kwa niaba ya mmiliki wake?
Jibu: Hapana, haifai. Ni lazima aitangaze au aikabidhi kwa mamlaka inayohusika na mali iliyopotea. Ikiwa kuna mamlaka inayoshughulikia vitu vilivyopotea, basi aiwasilishe huko. Vinginevyo ni lazima atangaze mali hiyo.
Swali: Je, kutoa ushahidi ni wajibu?
Jibu: Kwa mujibu wa Hadiyth linaonekana kuwa ni wajibu, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“… basi na ashuhudishe.”
Msingi wa amri katika Shari´ah inapelekea katika ulazima. Hata hivyo kuna maoni kuwa huenda ikawa ni jambo linalopendekezwa tu, kwa kuwa katika Hadiyth ya Zayd bin Khaalid iliyopokewa na al-Bukhaariy na Muslim na Hadiyth nyingine nyingi hakuna amri ya lazima ya kushuhudisha. Kwa hiyo inaweza kusemwa kwamba hilo makusudio ya kushuhudisha ni kwa njia ya mapendezo na ubora.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25422/حكم-من-وجد-مالا-وسلمه-لجهة-خيرية-بنية-الصدقة
- Imechapishwa: 24/03/2025
Swali: Vipi ikiwa mtu ameokota pesa barabarani na akaikabidhi kwa shirika la misaada kwa nia ya kuitolea swadaqah kwa niaba ya mmiliki wake?
Jibu: Hapana, haifai. Ni lazima aitangaze au aikabidhi kwa mamlaka inayohusika na mali iliyopotea. Ikiwa kuna mamlaka inayoshughulikia vitu vilivyopotea, basi aiwasilishe huko. Vinginevyo ni lazima atangaze mali hiyo.
Swali: Je, kutoa ushahidi ni wajibu?
Jibu: Kwa mujibu wa Hadiyth linaonekana kuwa ni wajibu, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“… basi na ashuhudishe.”
Msingi wa amri katika Shari´ah inapelekea katika ulazima. Hata hivyo kuna maoni kuwa huenda ikawa ni jambo linalopendekezwa tu, kwa kuwa katika Hadiyth ya Zayd bin Khaalid iliyopokewa na al-Bukhaariy na Muslim na Hadiyth nyingine nyingi hakuna amri ya lazima ya kushuhudisha. Kwa hiyo inaweza kusemwa kwamba hilo makusudio ya kushuhudisha ni kwa njia ya mapendezo na ubora.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25422/حكم-من-وجد-مالا-وسلمه-لجهة-خيرية-بنية-الصدقة
Imechapishwa: 24/03/2025
https://firqatunnajia.com/kuokota-pesa-na-kuzikabidhi-shirika-la-misaada-kwa-nia-ya-mmiliki-wake/