Swali: Je, mjamzito anayefungua kwa kuchelea juu ya mtoto wake anaweza kulinganishwa na yule anayefungua kwa mfano ili kumuokoa mwingine? Kwa maana ya kwamba anapaswa kulipa tu siku hiyo au anapaswa pia kulisha chakula?
Jibu: Ndio, inajuzu kwa mtu kufungua ili kumuokoa mwingine kutokana na maangamizi ikiwa hali inalazimisha afungue na hawezi kumuokoa isipokuwa kwa kufungua. Basi anaruhusiwa kufungua na atalipa baadaye.
Swali: Je, analazimika kutoa kafara ya kulisha chakula sambamba na kulipa?
Jibu: Kuhusu kafara, sikati kauli kwa jambo hilo. Ama kulipa, anapaswa kulipa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/409-410)
- Imechapishwa: 18/02/2026
Swali: Je, mjamzito anayefungua kwa kuchelea juu ya mtoto wake anaweza kulinganishwa na yule anayefungua kwa mfano ili kumuokoa mwingine? Kwa maana ya kwamba anapaswa kulipa tu siku hiyo au anapaswa pia kulisha chakula?
Jibu: Ndio, inajuzu kwa mtu kufungua ili kumuokoa mwingine kutokana na maangamizi ikiwa hali inalazimisha afungue na hawezi kumuokoa isipokuwa kwa kufungua. Basi anaruhusiwa kufungua na atalipa baadaye.
Swali: Je, analazimika kutoa kafara ya kulisha chakula sambamba na kulipa?
Jibu: Kuhusu kafara, sikati kauli kwa jambo hilo. Ama kulipa, anapaswa kulipa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/409-410)
Imechapishwa: 18/02/2026
https://firqatunnajia.com/kufungua-kwa-ajili-ya-kuokoa-maisha-ya-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket