Swali: Je, ni bora kujinasibisha mtu na Salafiyyah na kujiita “Salafiy” au inatosha kusema mimi ni muislamu?
Jibu: Tunapokuja katika kujinasibisha na Salafiyyah, haitoshi maneno tu. Yatakikana kufuata na kuwa katika mfumo wa Salaf hata kama hakusema mimi ni Salafiy.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-13-6-1433.mp3 Tarehe: 1433-06-13/2012-05-04
- Imechapishwa: 09/04/2022
Swali: Je, ni bora kujinasibisha mtu na Salafiyyah na kujiita “Salafiy” au inatosha kusema mimi ni muislamu?
Jibu: Tunapokuja katika kujinasibisha na Salafiyyah, haitoshi maneno tu. Yatakikana kufuata na kuwa katika mfumo wa Salaf hata kama hakusema mimi ni Salafiy.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-13-6-1433.mp3 Tarehe: 1433-06-13/2012-05-04
Imechapishwa: 09/04/2022
https://firqatunnajia.com/kinachozingatiwa-ni-kuwafuata-salaf-na-si-kujiita-tu-salafiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)