Swali: Kuna kijana ameoa hivi karibuni na amemwingilia mke wake mchana wa Ramadhaan mara tano kwa kila siku moja mara moja. Lipi linalomlazimu?
Jibu: Linalomlazimu ni yeye kutoa kafara kwa kila siku moja afunge miezi miwili mfululizo. Huyu bado ni kijana mchangamfu – Mashaa Allaah – na swawm haitokuwa gumu kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Kuna kijana ameoa hivi karibuni na amemwingilia mke wake mchana wa Ramadhaan mara tano kwa kila siku moja mara moja. Lipi linalomlazimu?
Jibu: Linalomlazimu ni yeye kutoa kafara kwa kila siku moja afunge miezi miwili mfululizo. Huyu bado ni kijana mchangamfu – Mashaa Allaah – na swawm haitokuwa gumu kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/kijana-amemwingilia-mke-wake-mara-tano-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)