Swali: Ni ipi hukumu ya kufunza au kufanya Da´wah kwenye misikiti au vituo vya Ahl-ul-Bid´ah?
Jibu: Kinachotakikana ni kufanya Da´wah kwenye misikiti ya Ahl-us-Sunnah. Lakini mtu akienda kwa watu hao na akawatolea kalima ambapo akabainisha Sunnah na akatahadharisha kutokamana na Bid´ah, basi ni jambo zuri midhali atatumia fursa hiyo kubainisha Sunnah. Ama ikiwa anazungumzia tu kile kitu wanachotaka wao na kutamani, basi asende.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=tWZ2Gf-gaRk&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 10/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)