Swali: Je, inajuzu kumuua mchokaraji kafiri ambaye anajulikana kuweka nje michoro ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hii sio njia sahihi. Mauaji sio njia sahihi. Hili linazidisha tu shari na chuki dhidi ya waislamu. Kitu cha kuwaudhi ni kuraddi utata wao na kufichukua aibu zao. Ama kuonesha nusura kwa mikono na silaha, hii ni haki ya kiongozi wa waislamu juu ya Jihaad katika njia ya Allaah (´Azza wa Jall).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara “Innaa kafaynaak”
- Imechapishwa: 13/01/2015
Swali: Je, inajuzu kumuua mchokaraji kafiri ambaye anajulikana kuweka nje michoro ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hii sio njia sahihi. Mauaji sio njia sahihi. Hili linazidisha tu shari na chuki dhidi ya waislamu. Kitu cha kuwaudhi ni kuraddi utata wao na kufichukua aibu zao. Ama kuonesha nusura kwa mikono na silaha, hii ni haki ya kiongozi wa waislamu juu ya Jihaad katika njia ya Allaah (´Azza wa Jall).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara “Innaa kafaynaak”
Imechapishwa: 13/01/2015
https://firqatunnajia.com/je-inajuzu-kumuua-mwenye-kumchora-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)