Swali: Mwanamke akiona damu na akawa ameacha kuswali. Damu hiyo ikakatika ndani ya mchana na usiku mmoja. Je, akidhi swalah alizoacha?
Jibu: Damu hiyo ikimbainikia kuwa haikuwa hedhi akidhi zile swalah alizoacha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 28/12/2016
Swali: Mwanamke akiona damu na akawa ameacha kuswali. Damu hiyo ikakatika ndani ya mchana na usiku mmoja. Je, akidhi swalah alizoacha?
Jibu: Damu hiyo ikimbainikia kuwa haikuwa hedhi akidhi zile swalah alizoacha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 28/12/2016
https://firqatunnajia.com/ikibaini-kuwa-damu-haikuwa-hedhi/