Swali: Je, inajuzu kumtaliki aliye na nifasi ndani ya muda wa nifasi?
Jibu: Talaka haijuzu ndani ya muda wa nifasi wala hedhi. Kwa Kauli Yake (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ إِذَا طَلَّقْتُمُ النِّسَاءَ فَطَلِّقُوهُنَّ لِعِدَّتِهِنَّ وَأَحْصُوا الْعِدَّةَ
“Ee Nabii! Mtakapowataliki wanawake, basi watalikini katika wakati wa eda (twahara na si katika hedhi) zao.” (65:01)
Yaani wakiwa Twahara bila ya kuwagusa. Hii ndio maana ya “li´addatihinna”.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10051
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Je, inajuzu kumtaliki aliye na nifasi ndani ya muda wa nifasi?
Jibu: Talaka haijuzu ndani ya muda wa nifasi wala hedhi. Kwa Kauli Yake (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ إِذَا طَلَّقْتُمُ النِّسَاءَ فَطَلِّقُوهُنَّ لِعِدَّتِهِنَّ وَأَحْصُوا الْعِدَّةَ
“Ee Nabii! Mtakapowataliki wanawake, basi watalikini katika wakati wa eda (twahara na si katika hedhi) zao.” (65:01)
Yaani wakiwa Twahara bila ya kuwagusa. Hii ndio maana ya “li´addatihinna”.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10051
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kumtaliki-mwanamke-wa-nifasi-na-hedhi/