Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma du´aa ya kufungulia swalah katika swalah za kujitolea za Rawaatib? Je, ni jambo linalopendeza?

Jibu: Inapendeza kuomba du´aa. Ni jambo linalopendeza katika swalah za kujitolea na swalah za faradhi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1431/حكم-دعاء-الاستفتاح-في-صلاة-النافلة
  • Imechapishwa: 03/04/2026