Swali: Ni ipi hukumu ya kunyunyua mikono katika du´aa ya Khutbah ya Ijumaa?
Jibu: Haijuzu, kwa imamu na maamu, kunyanyua mikono katika du´aa ya siku ya Ijumaa. Isipokuwa katika du´aa ya kuomba kunyweshelezewa. Akimuomba mvua katika du´aa ya siku ya Ijumaa wanyanyue mikono yao. Mbali na du´aa ya kunyweshelezewa siku ya Ijumaa kusinyanyuliwe mikono.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 11/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyunyua mikono katika du´aa ya Khutbah ya Ijumaa?
Jibu: Haijuzu, kwa imamu na maamu, kunyanyua mikono katika du´aa ya siku ya Ijumaa. Isipokuwa katika du´aa ya kuomba kunyweshelezewa. Akimuomba mvua katika du´aa ya siku ya Ijumaa wanyanyue mikono yao. Mbali na du´aa ya kunyweshelezewa siku ya Ijumaa kusinyanyuliwe mikono.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 11/04/2018
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-ijumaa-hakunyanyuliwi-mikono/