Swali: Mwanamke ana mimba ya mwezi wa sita. Daktari amemshauri kuwa huenda kipomoko kitakufa karibuni au kitazaliwa kikiwa na ulemavu. Pia daktari amemshauri atoe mimba na ameongeza kuwa kichwa cha kipomoko ni kikubwa. Nini maoni yenu?
Jibu: Wajibu ni kutokitoa kipomoko na awe na dhana njema kwa Allaah. Mwisho wake utakuwa mwema – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/204)
- Imechapishwa: 20/02/2026
Swali: Mwanamke ana mimba ya mwezi wa sita. Daktari amemshauri kuwa huenda kipomoko kitakufa karibuni au kitazaliwa kikiwa na ulemavu. Pia daktari amemshauri atoe mimba na ameongeza kuwa kichwa cha kipomoko ni kikubwa. Nini maoni yenu?
Jibu: Wajibu ni kutokitoa kipomoko na awe na dhana njema kwa Allaah. Mwisho wake utakuwa mwema – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/204)
Imechapishwa: 20/02/2026
https://firqatunnajia.com/daktari-amemshauri-kuavya-mimba/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket