Swali: Ni sahihi kuwakufurisha ´Awwaam wa Raafidhwah au inahusiana tu na wale wanachuoni wao?
Jibu: Allaah hakukubebesha suala hili. Lakini unatakiwa kuazimia kwa kuamini kuwa anayemshirikisha Allaah, akawaabudu mawalii na watu wema, akaitakidi kuwa kuna mwengine asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amekingwa na kukosea, kuwatukana Maswahabah na akamlaani Abu Bakr na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kuwa ni kufuru. Hili halina shaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_27-07-1433.mp3
- Imechapishwa: 23/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)