Anataka kusafiri na mchana baada ya ndoa lakini kabla ya kufanya walima

Swali: Kijana kutoka nje ya Saudi Arabia ambaye amefunga ndoa na msichana lakini bado hajamwingilia. Je, inajuzu kwao kusafiri kufanya ‘Umrah kabla ya sherehe ya harusi?

Jibu: Ndiyo, hapana vibaya. Huyo ni mke wake kwa mujibu wa Shari´ah.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/209)
  • Imechapishwa: 20/02/2026