Swali 395: Vipi maiti ambaye hakuhiji kwa kuzembea kwake?
Jibu: Ahijiwe kutoka katika mali yake. Hapana vibaya endapo atajitokeza mtu akajitolea kwa ajili yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 135
- Imechapishwa: 17/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 395: Vipi maiti ambaye hakuhiji kwa kuzembea kwake?
Jibu: Ahijiwe kutoka katika mali yake. Hapana vibaya endapo atajitokeza mtu akajitolea kwa ajili yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 135
Imechapishwa: 17/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/anahijiwa-aliyeacha-kuhiji-kwa-uzembe/