Swali: Kijana mmoja alifunga ndoa na msichana, lakini kabla ya ndoa kutangazwa hadharani alifanya naye tendo la ndoa. Je, hili ni haramu? Je, linachukuliwa kuwa ni dhambi?
Jibu: Si haramu, lakini bora ni kutofanya hivo mpaka ndoa itakapokamilika mradi mkataba wa ndoa umekwishafungwa na kuenea. Hakuna ubaya wowote. Lakini kinachotakiwa ni yeye kusubiri mpaka atakapomuweka ndani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/206)
- Imechapishwa: 20/02/2026
Swali: Kijana mmoja alifunga ndoa na msichana, lakini kabla ya ndoa kutangazwa hadharani alifanya naye tendo la ndoa. Je, hili ni haramu? Je, linachukuliwa kuwa ni dhambi?
Jibu: Si haramu, lakini bora ni kutofanya hivo mpaka ndoa itakapokamilika mradi mkataba wa ndoa umekwishafungwa na kuenea. Hakuna ubaya wowote. Lakini kinachotakiwa ni yeye kusubiri mpaka atakapomuweka ndani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/206)
Imechapishwa: 20/02/2026
https://firqatunnajia.com/amemfanya-tendo-la-ndoa-na-msichana-baada-ya-ndoa-lakini-kabla-ya-kufanya-walima/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket