Swali: Ni ipi hukumu ya kunywa maji kwa makusudi wakati mtu amefunga pindi mfungaji amehisi uchovu mkubwa? Je, ni lazima kwake kulipa siku hiyo?
Jibu: Mwenye kunywa mchana wa Ramadhaan kwa makusudi funga yake imeharibika. Ni lazima kwake kulipa siku moja badala ya siku hiyo ambayo alikunywa kwa ajili ya uchovu mkubwa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (10844)
- Imechapishwa: 24/04/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kunywa maji kwa makusudi wakati mtu amefunga pindi mfungaji amehisi uchovu mkubwa? Je, ni lazima kwake kulipa siku hiyo?
Jibu: Mwenye kunywa mchana wa Ramadhaan kwa makusudi funga yake imeharibika. Ni lazima kwake kulipa siku moja badala ya siku hiyo ambayo alikunywa kwa ajili ya uchovu mkubwa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (10844)
Imechapishwa: 24/04/2020
https://firqatunnajia.com/amehisi-uchovu-sana-akala-mchana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)