Aliyerogwa kalamu yake inafanyakazi?

Swali: Aliyerogwa anapewa udhuru kwa yale anayofanya au anazingatiwa kuwa ni mwenye kusamehewa na haandikiwi madhambi?

Jibu: Akili na kufikiria kwake kukiondoka kwa sababu ya uchawi haandikiwi. Ama akiwa na akili na kufikiria anaandikiwa kwa kiasi cha akili na kule kufikiria alikonako.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
  • Imechapishwa: 06/01/2019