Swali: Aliyerogwa anapewa udhuru kwa yale anayofanya au anazingatiwa kuwa ni mwenye kusamehewa na haandikiwi madhambi?
Jibu: Akili na kufikiria kwake kukiondoka kwa sababu ya uchawi haandikiwi. Ama akiwa na akili na kufikiria anaandikiwa kwa kiasi cha akili na kule kufikiria alikonako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
- Imechapishwa: 06/01/2019
Swali: Aliyerogwa anapewa udhuru kwa yale anayofanya au anazingatiwa kuwa ni mwenye kusamehewa na haandikiwi madhambi?
Jibu: Akili na kufikiria kwake kukiondoka kwa sababu ya uchawi haandikiwi. Ama akiwa na akili na kufikiria anaandikiwa kwa kiasi cha akili na kule kufikiria alikonako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
Imechapishwa: 06/01/2019
https://firqatunnajia.com/aliyerogwa-kalamu-yake-inafanyakazi/