Swali: Kuweka Mihraab ni Sunnah au wajibu?
Jibu: Mihraab ni alama ya Qiblah. Ina manufaa. Inaonesha ni wapi Qiblah kipo. Misikiti isiyokuwa na Mihraab ukiingia hujui ni wapi Qiblah kipo. Pale unapoona Mihraab ndio unajua Qiblah. Ina manufaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
- Imechapishwa: 27/04/2018
Swali: Kuweka Mihraab ni Sunnah au wajibu?
Jibu: Mihraab ni alama ya Qiblah. Ina manufaa. Inaonesha ni wapi Qiblah kipo. Misikiti isiyokuwa na Mihraab ukiingia hujui ni wapi Qiblah kipo. Pale unapoona Mihraab ndio unajua Qiblah. Ina manufaa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
Imechapishwa: 27/04/2018
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mihraab/