Swali: Kutekelezewa adhabu ya kidini kunafuta madhambi au ni lazima pamoja na hivo mtu atubie?
Jibu: Adhabu za kidini ni zenye kufuta madhambi. Tawbah inafuta madhambi na adhabu kidini zinafuta madhambi ikiwa hatorejea katika kitendo chake. Nakusudia kwamba inafuta madhambi aliyoyafanya kabla ya kusimamishiwa adhabu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24400/هل-اقامة-الحد-مكفر-ام-لا-بد-من-التوبة
- Imechapishwa: 05/10/2024
Swali: Kutekelezewa adhabu ya kidini kunafuta madhambi au ni lazima pamoja na hivo mtu atubie?
Jibu: Adhabu za kidini ni zenye kufuta madhambi. Tawbah inafuta madhambi na adhabu kidini zinafuta madhambi ikiwa hatorejea katika kitendo chake. Nakusudia kwamba inafuta madhambi aliyoyafanya kabla ya kusimamishiwa adhabu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24400/هل-اقامة-الحد-مكفر-ام-لا-بد-من-التوبة
Imechapishwa: 05/10/2024
https://firqatunnajia.com/adhabu-za-kidini-zinafuta-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)