48- Hishaam bin Hakiym amesimulia kwamba kuna mtu alikuja kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Matendo yaanze kufanywa au mipango imekwishapangwa?” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Allaah alitoa kizazi cha Aadam kutoka mgongoni mwake na akawashuhudisha juu ya nafsi zao wenyewe. Kisha akawamimina kwenye viganja vya mikono Yake na akasema: “Hawa wataingia Peponi na hawa wataingia Motoni.”[1]
Ameipokea al-Bayhaqiy.
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (712).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 33
- Imechapishwa: 10/07/2019
48- Hishaam bin Hakiym amesimulia kwamba kuna mtu alikuja kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Matendo yaanze kufanywa au mipango imekwishapangwa?” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Allaah alitoa kizazi cha Aadam kutoka mgongoni mwake na akawashuhudisha juu ya nafsi zao wenyewe. Kisha akawamimina kwenye viganja vya mikono Yake na akasema: “Hawa wataingia Peponi na hawa wataingia Motoni.”[1]
Ameipokea al-Bayhaqiy.
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (712).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 33
Imechapishwa: 10/07/2019
https://firqatunnajia.com/46-dalili-ya-ishirini-na-mbili-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)