Swali 39: Baada ya kuhajiri watu waligawanyika mafungu mangapi?
Jibu: Makkah ilikuwa kati ya kafiri anayepiga vita Uislamu na muumini mnyonge asiyeweza kuhama. Madiynah ilikuwa kati ya muumini anayependa na kuchukia kwa ajili ya Allaah, ambao ni Wahajiri na Wanusuraji, mayahudi na wanafiki. Pindi watu hawa wanapokutana na waumini, husema: ”Tumeamini”; lakini wanapokuwa wao peke yao na mashaytwaan wao, husema: ”Hakika sisi tuko pamoja nanyi.”
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnjia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 107
- Imechapishwa: 05/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)