23- Imaam ´Uthmaan bin Ibraahiym ametuhadithia kwa kutusomea: Ahmad bin Ibraahiym ametuhadithia: Ismaa´ily ametuhadithia: Abuu Yahyaa al-´Aaliy ametuhadithia: Ahmad bin ´Amr bin as-Sarj ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Manswuur bin al-Husayn bin ´Aliy ametuhadithia: Muhammad bin ´Aliy al-Haafidhw ametuhadithia Isfaraayiyn: ´Abdur-Rahmaan bin Ahmad bin Muhammad bin al-Hajjaaj bin Raashid bin Sa´d ametuhadithia Misri: Ahmad bin ´Amr bin as-Saraj ametuhadithia: Khaali wa Abuur-Rajaa´ ´Abdur-Rahmaan bin ´Abdil-Hamiyd al-Muhriy al-Miswriy ametuhadithia: Yahyaa bin Ayyuub ametuhadithia, kutoka kwa Daawuud bin Abiy Hind, kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) ameumba Pepo kwa mkono Wake na ameipigia marufu kwa kila mshirikina na mwenye kunywa mlevi.”[1]
[1] Ibn Mandah katika ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 77.
- Muhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 53
- Imechapishwa: 29/01/2017
23- Imaam ´Uthmaan bin Ibraahiym ametuhadithia kwa kutusomea: Ahmad bin Ibraahiym ametuhadithia: Ismaa´ily ametuhadithia: Abuu Yahyaa al-´Aaliy ametuhadithia: Ahmad bin ´Amr bin as-Sarj ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Manswuur bin al-Husayn bin ´Aliy ametuhadithia: Muhammad bin ´Aliy al-Haafidhw ametuhadithia Isfaraayiyn: ´Abdur-Rahmaan bin Ahmad bin Muhammad bin al-Hajjaaj bin Raashid bin Sa´d ametuhadithia Misri: Ahmad bin ´Amr bin as-Saraj ametuhadithia: Khaali wa Abuur-Rajaa´ ´Abdur-Rahmaan bin ´Abdil-Hamiyd al-Muhriy al-Miswriy ametuhadithia: Yahyaa bin Ayyuub ametuhadithia, kutoka kwa Daawuud bin Abiy Hind, kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) ameumba Pepo kwa mkono Wake na ameipigia marufu kwa kila mshirikina na mwenye kunywa mlevi.”[1]
[1] Ibn Mandah katika ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 77.
Muhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 53
Imechapishwa: 29/01/2017
https://firqatunnajia.com/23-dalili-ya-kwamba-allaah-ameumba-pepo-kwa-mkono-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket