Swali 161: Mashairi ambayo yanamsifu maiti yanazingatiwa ni katika maombolezo yaliyoharamishwa[1]?
Jibu: Mashairi yanayomsifu maiti sio maombolezo yaliyoharamishwa. Lakini haijuzu kwa yeyote kuchupa mpaka kwa yeyote na kumsifu uwongo. Hivo ndivo wanavofanya washairi wengi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/410).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 117
- Imechapishwa: 28/01/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)