Swali 161: Mashairi ambayo yanamsifu maiti yanazingatiwa ni katika maombolezo yaliyoharamishwa[1]?
Jibu: Mashairi yanayomsifu maiti sio maombolezo yaliyoharamishwa. Lakini haijuzu kwa yeyote kuchupa mpaka kwa yeyote na kumsifu uwongo. Hivo ndivo wanavofanya washairi wengi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/410).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 117
- Imechapishwa: 28/01/2022
Swali 161: Mashairi ambayo yanamsifu maiti yanazingatiwa ni katika maombolezo yaliyoharamishwa[1]?
Jibu: Mashairi yanayomsifu maiti sio maombolezo yaliyoharamishwa. Lakini haijuzu kwa yeyote kuchupa mpaka kwa yeyote na kumsifu uwongo. Hivo ndivo wanavofanya washairi wengi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/410).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 117
Imechapishwa: 28/01/2022
https://firqatunnajia.com/161-haifai-kumsifu-maiti-kwa-uwongo/