3- Kujitapisha. Ni kule kutoa kilichomo tumboni katika chakula au kinywa kwa kukusudia kupitia njia ya mdomo. Lakini mtu yakimshinda matapishi na yakamtoka bila yeye kutaka, jambo hilo haliathiri swawm yake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ambaye yatamshinda matapishi hakuna juu yake kulipa na ambaye atajitapisha basi alipe.”[1]
[1] Abu Daawuud (2380), at-Tirmidhiy (720) na Ibn Maajah (1676). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Ibn MAajah” (1368).
- Muhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 158
- Imechapishwa: 25/04/2020
3- Kujitapisha. Ni kule kutoa kilichomo tumboni katika chakula au kinywa kwa kukusudia kupitia njia ya mdomo. Lakini mtu yakimshinda matapishi na yakamtoka bila yeye kutaka, jambo hilo haliathiri swawm yake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ambaye yatamshinda matapishi hakuna juu yake kulipa na ambaye atajitapisha basi alipe.”[1]
[1] Abu Daawuud (2380), at-Tirmidhiy (720) na Ibn Maajah (1676). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Ibn MAajah” (1368).
Muhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 158
Imechapishwa: 25/04/2020
https://firqatunnajia.com/14-jambo-la-tatu-linalofunguza-kujitapisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket