80- Sahl bin Mu´aadh bin Anas amesimulia kutoka kwa baba yake aliyeeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kufunza elimu basi analipwa mfano wa yule atakayeitendea kazi pasi na kupungua chochote katika thawabu za yule mtendaji.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/143)
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
80- Sahl bin Mu´aadh bin Anas amesimulia kutoka kwa baba yake aliyeeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kufunza elimu basi analipwa mfano wa yule atakayeitendea kazi pasi na kupungua chochote katika thawabu za yule mtendaji.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/143)
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/14-hadiyth-mwenye-kufunza-elimu-basi/