1074- Ameeleza tena kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ummah wangu hautoacha kuwa juu ya mwenendo wangu muda wa kuwa kufuturu kwao hawasubiri nyota.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/621)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1074- Ameeleza tena kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ummah wangu hautoacha kuwa juu ya mwenendo wangu muda wa kuwa kufuturu kwao hawasubiri nyota.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/621)
Imechapishwa: 24/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-ummah-wangu-hautoacha-kuwa-juu-ya-mwenendo-wangu/