Swali: Je, wanafiki watamuona Allaah katika kisimamo hichi?
Jibu: Hapana:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Hapana! Hakika wao siku hiyo watawekewa kizuizi [wasimuone] Mola wao.”[1]
Kubaki kwao hapo haina maana kwamba watamuona. Allaah ataizima nuru yao na kuvutwa kwenda Motoni. Tunamuomba Allaah usalama.
[1] 83:15
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24383/هل-يرى-المنافقون-ربهم-في-الموقف-يوم-القيامة
- Imechapishwa: 04/10/2024
Swali: Je, wanafiki watamuona Allaah katika kisimamo hichi?
Jibu: Hapana:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Hapana! Hakika wao siku hiyo watawekewa kizuizi [wasimuone] Mola wao.”[1]
Kubaki kwao hapo haina maana kwamba watamuona. Allaah ataizima nuru yao na kuvutwa kwenda Motoni. Tunamuomba Allaah usalama.
[1] 83:15
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24383/هل-يرى-المنافقون-ربهم-في-الموقف-يوم-القيامة
Imechapishwa: 04/10/2024
https://firqatunnajia.com/makafiri-watamuona-allaah-kwenye-kisimamo-kirefu-siku-ya-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)