Ninaiusia nafsi yangu na nyinyi tuzuie ndimi zetu isipokuwa kwa jambo ambalo tunajua wema wake. Tunapowazungumzisha ndugu zetu basi tuwazungumzishe kwa njia iliokuwa nzuri. Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَقُل لِّعِبَادِي يَقُولُوا الَّتِي هِيَ أَحْسَنُ
“Waambie waja Wangu waseme ambayo ni mazuri zaidi.” (17:53)
Zuri utaloliona katika matamshi yako basi mzungumzishe nalo baba yako, mama yako, kaka zako, dada zako, mke wako na ndugu zako waumini. Namna hii utafunga njia ya Shaytwaan ambayo ni kuwatenganisha waislamu.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 413
- Imechapishwa: 13/05/2020
Ninaiusia nafsi yangu na nyinyi tuzuie ndimi zetu isipokuwa kwa jambo ambalo tunajua wema wake. Tunapowazungumzisha ndugu zetu basi tuwazungumzishe kwa njia iliokuwa nzuri. Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَقُل لِّعِبَادِي يَقُولُوا الَّتِي هِيَ أَحْسَنُ
“Waambie waja Wangu waseme ambayo ni mazuri zaidi.” (17:53)
Zuri utaloliona katika matamshi yako basi mzungumzishe nalo baba yako, mama yako, kaka zako, dada zako, mke wako na ndugu zako waumini. Namna hii utafunga njia ya Shaytwaan ambayo ni kuwatenganisha waislamu.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 413
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/zungumza-na-watu-kwa-uzuri-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)