Swali: Wanachuoni wakisema mtu fulani ni zandiki (زنديق) ina maana kuwa ni kafiri?
Jibu: Zandiki kwa mujibu wa istilahi ya waliokuja nyuma ni mnafiki ambao wamezungumziwa na Qur-aan ambao wanadhihirisha imani na wanaficha ukafiri. Huyu ndiye zandiki. Ni yule anayedhihirisha imani na anaficha kumkufuru Allaah (´Azza wa Jall). Huyu huitwa ima mnafiki au zandiki. Yote mawili maana yake ni moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 22/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)