Swali: Nataka kufanya Hijrah katika mji wa Kiislamu. Lakini watoto zangu hawataki kutoka katika mji wa kikafiri. Unanishauri nini mimi na wao?
Jibu: Ikiwa unaweza kuwalazimisha, walazimishe. Ikiwa huwezi fanya Hijrah peke yako. Fanya Hijrah peke yako na uendelee kuwaita katika kufanya Hijrah na kuwasiliana nao ili Allaah aweze kuwaongoza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-5-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Nataka kufanya Hijrah katika mji wa Kiislamu. Lakini watoto zangu hawataki kutoka katika mji wa kikafiri. Unanishauri nini mimi na wao?
Jibu: Ikiwa unaweza kuwalazimisha, walazimishe. Ikiwa huwezi fanya Hijrah peke yako. Fanya Hijrah peke yako na uendelee kuwaita katika kufanya Hijrah na kuwasiliana nao ili Allaah aweze kuwaongoza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-5-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/watoto-hawataki-kufanya-hijrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)