Swali: Nataka kufanya Hijrah katika mji wa Kiislamu. Lakini watoto zangu hawataki kutoka katika mji wa kikafiri. Unanishauri nini mimi na wao?

Jibu: Ikiwa unaweza kuwalazimisha, walazimishe. Ikiwa huwezi fanya Hijrah peke yako. Fanya Hijrah peke yako na uendelee kuwaita katika kufanya Hijrah na kuwasiliana nao ili Allaah aweze kuwaongoza.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-5-2-1435-01.mp3
  • Imechapishwa: 20/09/2020