Swali: Maamuma wananyanyua sauti ya juu katika zile Takbiyr zenye kuzidi. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Hakuna neno. Lakini hata hivyo wasinyanyue sauti juu sana. Inatakiwa iwe kwa kiwango cha kuweza kujisikia wao wenyewe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 02/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket