Swali: Wanafunzi wa masomo ikiwa idadi yao wanazidi wanafunzi 900 inafaa kwao wakaswali masomoni ikiwa msikiti umekurubiana na ukuta wa masomo?
Jibu: Wanatakiwa kuswali msikitini ikiwa nafasi ya msikiti inawatosha. Waalimu wao wanapaswa kuwatilia mkazo ili watekeleze swalah msikitini.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 12/02/2021
Swali: Wanafunzi wa masomo ikiwa idadi yao wanazidi wanafunzi 900 inafaa kwao wakaswali masomoni ikiwa msikiti umekurubiana na ukuta wa masomo?
Jibu: Wanatakiwa kuswali msikitini ikiwa nafasi ya msikiti inawatosha. Waalimu wao wanapaswa kuwatilia mkazo ili watekeleze swalah msikitini.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 12/02/2021
https://firqatunnajia.com/wanafunzi-zaidi-ya-900-wanaruhusiwa-kuswali-chuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)