Kilichowekwa katika Shari´ah ni kuandika kikamilifu kutokana na Allaah (Ta´ala) alivyoamrisha na msomaji akumbuke wakati wa kulipitia. Wala haitakikani wakati wa kuiandika kufupika kumswalia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa kuandika “SWA” au “S.A.W” na mfano wake katika ishara ambazo zinatumiwa na baadhi ya waandishi na watunzi wa vitabu. Hayo yanakwenda kinyume na amri ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika Kitabu Chake kitukufu pale aliposema:
صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Mswalieni na mumsalimu kwa salamu.” (33:56)
Pamoja na kwamba hakutimii malengo na kunakosekana fadhilah zinazopatikana katika kuandika “Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam” kikamilifu. Pengine hata msomaji asizinduke nalo au asifahamu makusudio yake licha ya kuwa wanachuoni wamechukizwa na kitendo hicho cha ishara na wakatahadharisha nacho.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/old/33035
- Imechapishwa: 05/12/2019
Kilichowekwa katika Shari´ah ni kuandika kikamilifu kutokana na Allaah (Ta´ala) alivyoamrisha na msomaji akumbuke wakati wa kulipitia. Wala haitakikani wakati wa kuiandika kufupika kumswalia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa kuandika “SWA” au “S.A.W” na mfano wake katika ishara ambazo zinatumiwa na baadhi ya waandishi na watunzi wa vitabu. Hayo yanakwenda kinyume na amri ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika Kitabu Chake kitukufu pale aliposema:
صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Mswalieni na mumsalimu kwa salamu.” (33:56)
Pamoja na kwamba hakutimii malengo na kunakosekana fadhilah zinazopatikana katika kuandika “Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam” kikamilifu. Pengine hata msomaji asizinduke nalo au asifahamu makusudio yake licha ya kuwa wanachuoni wamechukizwa na kitendo hicho cha ishara na wakatahadharisha nacho.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/old/33035
Imechapishwa: 05/12/2019
https://firqatunnajia.com/wanachuoni-wamechukiza-kufupiza-kumswalia-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)