Vipi mtu aanze kulingania mahala ambapo Salafiyyuun ni wachache?

Swali: Vipi nianze kulingania mahala ambapo Ahl-us-Sunnah ni wachache? Je, inakuwa kwa kuwafikishia mawaidha baada ya swalah…

Jibu: Fungua darsa. Kitu bora ni kuanzisha darsa msikitini na kuwashereheshea watu Sunnah na Tawhiyd. Ukisahilikiwa kuwafikishia na mawaidha ziada ya kuwafunza, hili ni jambo zuri.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-17051435.mp3
  • Imechapishwa: 18/09/2020