Swali: Mimi naishi Saudi Arabia na mke wangu anaishi mji mwingine. Mume anataka mke wake asafiri peke yake kwa kutumia hoja kwamba ni mke wake na ni lazima kwake kumtii na kuko mtu ambaye ametoa fatwa hiyo kujuzu kusafiri bila ya kuwa na Mahram. Je, inajuzu kwangu kumtii?
Jibu: Hapana.
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Sawa ikiwa ni mume, baba wala kiumbe yeyote:
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Mwanamke kusafiri bila ya Mahram ni maasi. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Si halali… “
Ni nini maana ya si halali? Maana yake ni kwamba ni haramu na ni maasi.
“Si halali kwa mwanamke kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Asimtii mume wake katika hili. Hata kama atafutu mwenye kufutu amekwenda kinyume na dalili. Aliyetoa Fatwa hii amekosea na ameenda kinyume na dalili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340428.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Mimi naishi Saudi Arabia na mke wangu anaishi mji mwingine. Mume anataka mke wake asafiri peke yake kwa kutumia hoja kwamba ni mke wake na ni lazima kwake kumtii na kuko mtu ambaye ametoa fatwa hiyo kujuzu kusafiri bila ya kuwa na Mahram. Je, inajuzu kwangu kumtii?
Jibu: Hapana.
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Sawa ikiwa ni mume, baba wala kiumbe yeyote:
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Mwanamke kusafiri bila ya Mahram ni maasi. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Si halali… “
Ni nini maana ya si halali? Maana yake ni kwamba ni haramu na ni maasi.
“Si halali kwa mwanamke kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Asimtii mume wake katika hili. Hata kama atafutu mwenye kufutu amekwenda kinyume na dalili. Aliyetoa Fatwa hii amekosea na ameenda kinyume na dalili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340428.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/nimtii-mume-anayetaka-nisafiri-bila-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)