Swali: Ni ipi hukumu ya kuitikia karamu ya ndoa wa harusi ya muislamu? Je, yule asiyehudhuria anakuwa amemuasi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Vipi ikiwa kutakuwa maovu itakuwa bado ni wajibu kwangu kuhudhuria au hapana?
Jibu: Msingi ni kuitikia wito.
“… na anapokualika, basi muitikie.”
Miongoni mwa haki za muislamu juu ya muislamu mwenzake:
“… na anapokualika, basi muitikie.”
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Shari ya chakula ni chakula cha walima. Wanaalikwa matajiri na wanatengwa mafukara. Na yule asiyeitikia basi amemuasi Allaah na Mtume Wake.”
Lakini ikiwa kutakuwa maovu na wewe huwezi kuyaondosha, haijuzu kwako kuhudhuria. Ikiwa kuna maovu na wewe huwezi kuyaondosha, basi haijuzu kwako kuhudhuria.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13694
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuitikia karamu ya ndoa wa harusi ya muislamu? Je, yule asiyehudhuria anakuwa amemuasi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Vipi ikiwa kutakuwa maovu itakuwa bado ni wajibu kwangu kuhudhuria au hapana?
Jibu: Msingi ni kuitikia wito.
“… na anapokualika, basi muitikie.”
Miongoni mwa haki za muislamu juu ya muislamu mwenzake:
“… na anapokualika, basi muitikie.”
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Shari ya chakula ni chakula cha walima. Wanaalikwa matajiri na wanatengwa mafukara. Na yule asiyeitikia basi amemuasi Allaah na Mtume Wake.”
Lakini ikiwa kutakuwa maovu na wewe huwezi kuyaondosha, haijuzu kwako kuhudhuria. Ikiwa kuna maovu na wewe huwezi kuyaondosha, basi haijuzu kwako kuhudhuria.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13694
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lini-inakuwa-wajibu-kuhudhuria-karamu-ya-ndoa-na-lini-sio-wajibu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)