Swali: Nifanye nini na mke ambaye amekataa kuvaa mavazi yanayokubalika katika Shari´ah? Je, mume amtaliki au abaki pamoja naye?
Jibu: Ni wajibu kwake kumlazimisha kuvaa mavazi yanayokubalika katika Shari´ah. Akiendelea kuasi, basi amzuie kutoka nje ya nyumba. Kwa sababu yeye ndiye mwenye usimamizi juu yake. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّـهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ وَبِمَا أَنفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ
“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake kwa kuwa Allaah amefadhilisha baadhi yao kuliko wengine na kwa sababu ya [matumizi] wanayotoa katika mali zao.”[1]
[1] 04:34
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=wXBXfYCFlh8&app=desktop
- Imechapishwa: 12/09/2020
Swali: Nifanye nini na mke ambaye amekataa kuvaa mavazi yanayokubalika katika Shari´ah? Je, mume amtaliki au abaki pamoja naye?
Jibu: Ni wajibu kwake kumlazimisha kuvaa mavazi yanayokubalika katika Shari´ah. Akiendelea kuasi, basi amzuie kutoka nje ya nyumba. Kwa sababu yeye ndiye mwenye usimamizi juu yake. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّـهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ وَبِمَا أَنفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ
“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake kwa kuwa Allaah amefadhilisha baadhi yao kuliko wengine na kwa sababu ya [matumizi] wanayotoa katika mali zao.”[1]
[1] 04:34
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=wXBXfYCFlh8&app=desktop
Imechapishwa: 12/09/2020
https://firqatunnajia.com/mke-hataki-kujisitiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)