Swali: Je, adhaana ya kwanza siku ya Ijumaa ni Bid´ah na ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema hivo?
Jibu: Kwa hivyo Makhaliyfah waongofu watakuwa ni watu wa Bid´ah. Kwa kuwa adhaana ilikuwepo katika zama za Khaliyfah wa tatu ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anhu), Muhaajiruun na Answaar. Kwa mujibu wa madai ya mjinga huyu ina maana watakuwa watu wa Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Je, adhaana ya kwanza siku ya Ijumaa ni Bid´ah na ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema hivo?
Jibu: Kwa hivyo Makhaliyfah waongofu watakuwa ni watu wa Bid´ah. Kwa kuwa adhaana ilikuwepo katika zama za Khaliyfah wa tatu ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anhu), Muhaajiruun na Answaar. Kwa mujibu wa madai ya mjinga huyu ina maana watakuwa watu wa Bid´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuwafanyia-tabdiy-maswahabah-kwa-kusema-adhaana-ya-kwanza-ijumaa-ni-bidah-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
