Swali: Ni ipi hukumu ya kudhihaki ndevu na kufupisha nguo juu ya vifundo vya miguu?
Jibu: Hili ni jambo haramu. Kudhihaki ndevu na kudhihaki kufupisha nguo isiyoshuke chini ya kongo mbili za miguu ni maovu makubwa. Huenda mwenye kufanya hivyo akawa mwenye kuritadi. Huenda akakufuru kwa jambo hilo. Ikiwa lengo lake ni kudhihaki dini, basi kunaweza kuwa kuritadi kutoka katika Uislamu. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
أَبِاللَّـهِ وَآيَاتِهِ وَرَسُولِهِ كُنتُمْ تَسْتَهْزِئُونَ لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
“Je, mlikuwa mnamfanyia istihizai Allaah na Aayah Zake na Mtume Wake?” Msitoe udhuru; mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”[1]
Kwa hiyo kuzichezea sherehe ndevu, swalah, swawm, kufupisha nguo na kutoivaa chini ya kongo mbili za miguu ni khatari kubwa. Ikiwa lengo lake ni kudharau dini na kuitia mapungufu, basi huko ni kuritadi kutoka katika Uislamu.
[1] 09:65-66
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30104/ما-حكم-الاستهزاء-باللحية-وتقصير-الثياب
- Imechapishwa: 11/09/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kudhihaki ndevu na kufupisha nguo juu ya vifundo vya miguu?
Jibu: Hili ni jambo haramu. Kudhihaki ndevu na kudhihaki kufupisha nguo isiyoshuke chini ya kongo mbili za miguu ni maovu makubwa. Huenda mwenye kufanya hivyo akawa mwenye kuritadi. Huenda akakufuru kwa jambo hilo. Ikiwa lengo lake ni kudhihaki dini, basi kunaweza kuwa kuritadi kutoka katika Uislamu. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
أَبِاللَّـهِ وَآيَاتِهِ وَرَسُولِهِ كُنتُمْ تَسْتَهْزِئُونَ لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
“Je, mlikuwa mnamfanyia istihizai Allaah na Aayah Zake na Mtume Wake?” Msitoe udhuru; mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”[1]
Kwa hiyo kuzichezea sherehe ndevu, swalah, swawm, kufupisha nguo na kutoivaa chini ya kongo mbili za miguu ni khatari kubwa. Ikiwa lengo lake ni kudharau dini na kuitia mapungufu, basi huko ni kuritadi kutoka katika Uislamu.
[1] 09:65-66
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30104/ما-حكم-الاستهزاء-باللحية-وتقصير-الثياب
Imechapishwa: 11/09/2025
https://firqatunnajia.com/kuwadhihaki-wenye-ndevu-na-wenye-kufupisha-nguo-zao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
