95- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Muhammad bin Ishaaq ametuhadithia: Shujaa´ bin al-Waliyd ametuhadithia: Nimemsikia Sulaymaan bin Mahraan, kutoka kwa Abu Swaalih aliyesimulia kuwa Umm Salamah amesema:
“Uzuri ulioje wa siku ambayo Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia. Kukasemwa: “Ni siku gani hiyo?” Akasema: “Ni siku ya ´Arafah.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 174
- Imechapishwa: 14/01/2021
95- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Muhammad bin Ishaaq ametuhadithia: Shujaa´ bin al-Waliyd ametuhadithia: Nimemsikia Sulaymaan bin Mahraan, kutoka kwa Abu Swaalih aliyesimulia kuwa Umm Salamah amesema:
“Uzuri ulioje wa siku ambayo Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia. Kukasemwa: “Ni siku gani hiyo?” Akasema: “Ni siku ya ´Arafah.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni nzuri.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 174
Imechapishwa: 14/01/2021
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-siku-ya-arafah-kupitia-upokezi-wa-umm-salamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)