Swali: Je, inajuzu kumsusa mtu asiyeswali katu hata kama atakuwa ni kaka yangu?
Jibu: Ndio. Yule ambaye anakusudia kuacha swalah, huyu sio muislamu:
لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ
“Hutopata watu wanaomuamini Allaah na siku ya Mwisho kwamba wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na Mtume Wake, japo wakiwa ni baba zao, au watoto wao, au ndugu zao.” (58:22)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15082
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, inajuzu kumsusa mtu asiyeswali katu hata kama atakuwa ni kaka yangu?
Jibu: Ndio. Yule ambaye anakusudia kuacha swalah, huyu sio muislamu:
لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ
“Hutopata watu wanaomuamini Allaah na siku ya Mwisho kwamba wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na Mtume Wake, japo wakiwa ni baba zao, au watoto wao, au ndugu zao.” (58:22)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15082
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kumsusa-mtu-mwenye-kuacha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)