Swali: Mmoja katika ndugu zangu amepatwa na maradhi sugu ambayo ni kansa ya kwenye ubongo. Je, inafaa kwangu kumfanyia ´Umrah kwa kuzingatia kwamba hawezi kutikisika?
Jibu: Ikiwa hakuwahi kufanya ´Umrah hapo mwanzoni, hakuna neno. Ama kama aliwahi kufanya ´Umrah hapo kabla asifanyiwe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/01/2020
Swali: Mmoja katika ndugu zangu amepatwa na maradhi sugu ambayo ni kansa ya kwenye ubongo. Je, inafaa kwangu kumfanyia ´Umrah kwa kuzingatia kwamba hawezi kutikisika?
Jibu: Ikiwa hakuwahi kufanya ´Umrah hapo mwanzoni, hakuna neno. Ama kama aliwahi kufanya ´Umrah hapo kabla asifanyiwe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/01/2020
https://firqatunnajia.com/kumfanyia-umrah-ndugu-aliyepatwa-na-kansa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
