Swali: Je, inajuzu anapokutana na baba yake ambaye ni kafiri kumbusu kichwa chake?

Jibu: Ndio, ni katika kumtendea wema. Ni katika kumfanyia wema kimatendo kwa baba yake kafiri.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020